Sunday, February 17, 2013

TASWIRA ZA MKUTANO WA CCM KATIKA VIWANJA VYA PILE TEMEKE JIJINI DAR



Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia wananchi wa Wilaya ya Temeke na kuwahakikishia kuwa CCM itaisimamia serikali itekeleze ilani yake ya Uchaguzi kwa asilimia 100.

Juliana Shonza akihutubia wakazi wa Temeke juu ya maamuzi yake thabiti ya kujiunga na CCM.



Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Ndugu Sophia Mjema akiwapungia wananchi wa Temeke wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Pile, Temeke Mwisho.…






Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia wananchi wa Wilaya ya Temeke na kuwahakikishia kuwa CCM itaisimamia serikali itekeleze ilani yake ya Uchaguzi kwa asilimia 100.




Juliana Shonza akihutubia wakazi wa Temeke juu ya maamuzi yake thabiti ya kujiunga na CCM.




Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Ndugu Sophia Mjema akiwapungia wananchi wa Temeke wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Pile, Temeke Mwisho.





Wasanii wa kikundi cha TMK wakitoa burudani kwenye uwanja wa nyumbani wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Pile, Temeke, jana tarehe 16/2/2013.




Mtela Mwampamba akiwaeleza wananchi wa Temeke mapungufu makubwa ya kidemokrasia yaliyopo kwenye vyama vya upinzani na hivyo kumfanya yeye binafsi kuchukua uamuzi wa kujiunga na CCM.




Saumu Kisena akionyesha kitambulisho chake, Saumu amejiunga rasmi CCM baada ya kugundua chama alichokuwepo kinahubiri haki nje wakati ndani hamna haki kabisa.




Wananchi na wapenzi wa CCM kutoka kata ya Kilakala, Yombo kama walivyojitambulisha wakiwa katika mkutano huo.


Kikundi cha Hamasa cha CCM, Temeke kikihamasisha kwa aina yake wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Pile, Temeke jana.



Baadhi ya wananchi wakionekana kuelewa vizuri maneno ya viongozi wao.

                                              Picha na CCM BLOG




Love to hear what you think!