Sunday, October 14, 2012

NAAKAYA SUMARI AZIANIKA NYETI ZAKE


WAKATI watanzania wakiwa wamechoka na matukio machafu yanayofanywa na wasanii kwa kuacha nyeti zao nje, tukio lingine kama hilo limetokea tena kwa msanii ambaye watu hawakutarajia Nakaaya Sumari ambaye naye ameamua kuziweka nyeti zake hadharani kwa kutovaa nguo ya ndani, kitu ambacho kimempa aibu nzito.

Tukio hilo limetokea hivi karibu wakati msanii huyo akiwa kwenye mahojiano na moja ya chombo cha habari, ambapo katika mkao ambao alikuwa amekaa alikuwa hajajifunika hata kitambaa wakati akijua wazi kuwa hajavaa nguo ya ndani ambayo kwa namna moja ama nyingine ingeweza kuficha aibu hiyo nzito ya kuziweka wazi nyeti zake.

Tukio hilo limechukua sura mpya kwa wadau wa muziki wa kizazi kipya, kwani msanii huyo hakuwahi kufanya tukio la aibu kama hilo, ambalo limemchafua kwa kiasi kikubwa.


Love to hear what you think!