Wednesday, November 21, 2012

Balaa: Mke wa Mtu Afumwa Akijiuza Usiku na Mtoto Mkononi


Katika pitapita yangu leo, nimekutana na picha hizi kwenye mitandao mbalimbali ya jamii.Mwanamke amekamatwa Akijiuza Usiku Huku akiwa na mtoto wake mdogo Tukio hili lilitokea katika kamakamta ya machangu mitaa ya buguruni Dar es salaam,



Love to hear what you think!