Saturday, July 20, 2013

DEMU WA PREZZO ACHANWA KWA KUTUMIA PICHA ZA UTUPU KUTAFUTA UMAARUFU!

Na Mwandishi Wetu
MDADA wa Kenya anayetajwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki Jackson Makini ‘Prezzo’, Huddah Monroe ‘The Boss Lady’ amechanwa kuwa anatumia nguvu kubwa kujipatia umaarufu kwa kupiga picha chafu kisha kuzisambaza mtandaoni.
Huddah Monroe ‘The Boss Lady’ katika pozi la utupu.
Mtandao mmoja wa nchini humo umeeleza kuwa, kuna watu wengi akiwemo Huddah ambao badala ya kufanya mambo yenye faida kwa jamii na hatimaye kuwa maarufu, wao hutumia njia batili ikiwemo hiyo ya kupiga picha za utupu.
 
Huddah katika pozi nyinine tata.
“Miaka ya nyuma ili mtu ajulikane zaidi kwenye jamii lazima afanye kazi nzuri lakini kipindi hiki ni tofauti. Wengi hasa wadada wanajipatia umaarufu kwa kuposti picha zao wakiwa watupu kwenye mitandao ya kijamii. Mfano Huddah na wengine kama vile Kim Kardashian wa Marekani,” uliandika mtandao huo.
Huddah akiwa na Prezzo.




Love to hear what you think!