Wednesday, June 26, 2013

FEZA KESSY KUMJIBU NANDO KWA KUVUNJA AMRI YA SITA NDANI YA BBA


baada ya nando na selly kuvunja amri ya 6 mjengoni swali linakuja jeeeeee, Feza nae atavunja amri ya sita na o'neal????? maana inasemekana yupo kwenye penzi zito na O'neal wa Botswana, kafa kaoza na haskiii wala haoni, wanalala kitanda kimoja na kuamka wote, ma'denda' na ma hugs kwa sana mweeee!!!! sie ye2 machooo!!!! maana kwa nando mnachekelea je kwa feza mtachekelea ivoivooo????
TOA MAONI YAKO HAPA



Love to hear what you think!