 Ephraim Kibonde akishuka kwenye gari baada ya ajali.
Ephraim Kibonde akishuka kwenye gari baada ya ajali. 
 ..Akilikagua gari lake.
..Akilikagua gari lake. 

 Trafiki akiwa eneo la ajali.
Trafiki akiwa eneo la ajali. 
 Gari la Kibonde likiwa eneo la ‘round about’ ya kuelekea Mlimani City baada ya ajali.
Gari la Kibonde likiwa eneo la ‘round about’ ya kuelekea Mlimani City baada ya ajali. 
 Fundi akirekebisha gari hilo baada ya ajali.
Fundi akirekebisha gari hilo baada ya ajali. 
Mtangazaji
 wa Clouds FM, Ephraim Kibonde amepata ajali ya gari leo asubuhi  katika
 barabara ya Sam Nujoma kwenye ‘round about’ ya kuelekea Mlimani City. 
Gari alilokuwa anaendesha Kibonde aina ya Toyota Carina lenye nama za 
usajili T 733 BVE limeharibika kwa mbele katika ajali hiyo.
(Picha: Chande Abdallah / GPL)