Sunday, May 26, 2013

Fezza Kessy Awa Mtanzania wa Pili Kuingia Nyumba ya Big Brother Africa


Baada ya Kuwa na Tetesi kuwa Fezza Kessy Atakuwa ni mmoja wa wakilishi wa Tanzania Big Brother Africa ...leo hii Amekuwa ni Mmoja kati ya Watanzania Wawili Wanao Iwakilisha Tanzania katika Jengo Hilo....So Tuna Wawakilishi Wawili Nando na Fezza Kessy...



Love to hear what you think!