Thursday, April 25, 2013

MTU MMOJA ADAIWA KUFA MAJI COCO BEACH MCHANA HUU


Mwili wa marehemu ukiwa umefunikwa Khanga na wasamaria wema katika fukwe za Coco Beach....
 
Taarifa  zilizotufikia  hivi  punde  zinadai  kuwa  mtu  mmoja  (Pichani)  ambaye  bado  hajafahamika  mara  moja  amekutwa  amekufa  maji  Coco-Beach......

Tunaendelea  kufuatilia   undani  wa  habari hii......
Imetolewa  na Thimothy Shao Koko



Love to hear what you think!