Saturday, December 27, 2014

picha za Instagram Party Dec 26 Golden Jubilee hizi hapa

.
.
Boxing day mwaka 2014 imeingia kwenye headlines muhimu kwa watumiaji wa mtandao wa Instagram kujumuika na kukutana sehemu moja ana kwa ana kwa lengo la kufahamiana zaidi.
Event hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Golden Jubilee Dar es Salaam ilihudhuriwa na watu tofauti  wakiwemo mastaa hizi ni baadhi ya picha zikionyesha matukio mbalimbali kama Redcarpet,Perfomance ya Wakazi na jinsi watu walivyoifurahia siku hiyo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC_0036
.
.
DSC_0024
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Wadau wa instagram party walioibuka washindi usiku wa kuamkia Dec 27.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Wakazi akitoa burudani kali kwa wadau mbalimbali.
.
.

.

.
.
.
.
Pichani (kushoto) Perfect kutoka CloudsFM akiwa na rafiki yake.
.
Aliyekuwa mshiriki wa BBA Hotshots kutokea Afrika Kusini, Samantha ni miongoni mwa waliohudhuria event hiyo.
.
Hawa ni baadhi ya watu waliojitokeza kuwania zawadi mbalimbali zilizoandaliwa na timu ya Instagram party.
.
Pichani Mr Problem Solve akimkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyotta Cresta kijana ambaye aliibuika kuwa mshindi baada ya bahati nasibu .
.
Hii ndio zawadi iliyotolewa na waandaji wa Instagram Party.
.
.
Picha zote kwa hisani ya Millard Ayo



Love to hear what you think!