Baadhi ya wananchi wakishuhudia miili ya wenzao waliowauwa katika shambulio la usiku wa kuamkia jana Mpeketoni.
Pikipiki, magari na hoteli baada ya kuchomwa moto na kundi la Al Shabaab usiku wa kuamki jana kabla ya shambulio la leo.…
Baadhi ya wananchi wakishuhudia miili ya wenzao waliowauwa katika shambulio la usiku wa kuamkia jana Mpeketoni.
Pikipiki, magari na hoteli baada ya kuchomwa moto na kundi la Al Shabaab usiku wa kuamki jana kabla ya shambulio la leo.Shambulio hilo limetokea ikiwa ni siku moja baada ya kundi la Al Shabaab kukiri kufanya mashambulizi yaliyouwa watu 50 katika eneo hilo usiku wa kuamkia jana Jumatatu Juni 16, 2014.

