Friday, June 14, 2013

KICHANGA CHAOKOTWA KIKIWA KIMEKUFA HUKO MAGOMENI

Mwili  wa  mtoto  ukiwa  umetupwa

Wakazi  wakishuudia mototo mchanga akiwa ametupwa na kufariki dunia katika eneo hilo na mtu asiyefaamika.


Askari polisi wa kituo cha magomeni usalama wakiwa katika eneo ambalo ametupwa mototo mchanga akiwa amefariki kwa ajili yakumchukua kumpeleka sehemu husika

Wakazi wa eneo la magomeni zilipovunjwa nyumba za( KOTA) jijini Dar es salaam l wakishuudia mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja akiwa ametupwa na kufariki dunia katika eneo hilo na mtu asiyefaamika.



Love to hear what you think!