Tuesday, March 26, 2013

ALIYEMGONGA TRAFIKI ENEO LA BAMAGA AFIKISHWA MAHAKAMANI



Akiteta jambo na Issa Mnally  ndani ya mahakama kabla ya hakimu kuwasili. 


  Waandishi wa habari wakimpiga picha (Simbo) wakati akiingia mahakamani...


Akiondoka eneo la mahakama mara baada ya kesi kuahirishwa akiwa na wakili wake.
 Jackson  Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya Bamaga-Mwenge  jijini Dar ss Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya Wilaya ya Kinondoni. 

Mshitakiwa huyo ameachiwa kwa dhamana hadi kesi hiyo itakapo tajwa tena Aprili 15 mwaka huu


Love to hear what you think!