Thursday, February 14, 2013

HILI NDIO BASI JIPYA LILILONUNULIWA KWA AJILI YA KUWABEBA WACHEZAJI WA TAIFA STARS.


Ni basi aina ya Yutong lililonunuliwa na wadhamini wa Taifa Stars ambapo thamani yake ni zaidi ya Shilingi milioni 200, lina uwezo wa kubeba abiria 50, ndani kuna TV mbili za kisasa, muziki wa nguvu wenye spika nane, milango na mabuti ya kisasa, friji mbili na AC kama kawaida.
February 21 ndio litakabidhiwa kwa Taifa Stars.



Love to hear what you think!