Tuesday, November 13, 2012

MANENO YA PRESIDENT JK NA MAGUFULI KWA UPINZANI

 

               Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais JAKAYA KIKWETE
Mkutano Mkuu wa Nane wa Chama cha Mapinduzi ambao leo unaingia siku yake ya tatu umeendelea kuibua mengi ikiwemo la Viongozi wa Vyama vya Upinzani kubainika kusifia maendeleo yaliyopatikana nchini kimya kimya kwa kuhofia Sera za vyama vyao zinazowataka kupinga kila jema linalofanywa na Serikali.
Hilo limebainishwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais JAKAYA KIKWETE wakati akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu juu ya kebehi zinazotolewa na wapinzani juu ya Serikali iliyopo madarakani katika kutekeleza majukumu yake

.FUNGUA LINK HII KUSIKILIZA MANENO YA JK KWA WAPINZANI




Love to hear what you think!