Tuesday, October 2, 2012

PICHA ZA MAGARI YALIYOPATA AJALI NA KUWAKA MOTO MBEYA LEO



.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

                                                                                                          AJALI MBAYA IMETOKEA MBALIZI MBEYA AMBAPO MAGARI MAWILI YALIGONGANA NA KUWAKA MOTO, WATU 10 WANARIPOTIWA KUFARIKI DUNIA, MBUNGE WA VITI MAALUM  MH.MARY MWANJELWA ALIKUWEMO KATIKA AJALI HIYO, KATIBU WAKE AMETEKETEA KWA MOTO.
Picha zote zimetoka mbeyayetu.blogspot.com



Love to hear what you think!