Saturday, September 8, 2012

RIHANNA NA CHRISS BROWN WAPIGANA MABUSU KWA SANA TU NDANI YA MTV AWARDS



Rihanna (kushoto) akibusiana na boifrendi wake wa zamani Chris Brown (kulia) wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California  usiku wa Septemba 6, 2012.


Rihanna akitumbuiza stejini wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California jana usiku Septemba 6, 2012.
Rihannaakitumbuiza stejini wakati wa tamasha la tuzo za video bora za muziki  la MTV Video Music Awards 12 kwenye Ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, California  usiku wa Septemba 6, 2012.



Love to hear what you think!