Saturday, July 21, 2012

Tangazo La Kazi Ya Muda, Sensa Ya Watu na makazi 2012.


Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inakamilisha maandalizi ya kufanya Sensa ya Watu na Makazi ambayo itafanyika tarehe 26 Agosti, 2012. Ili kufanikisha Sensa hii, Serikali inatangaza nafasi za kazi za muda za MAKARANI NA MAKARANI WAANDAMIZI WA SENSA kwa Watanzania wenye nia na sifa zinazostahili kama ilivyoainishwa katika tangazo hili. Kazi hii itaanza tarehe 06 Agosti, 2012 na kumalizika tarehe 14 Septemba 2012.


1. Bonyeza hapa kusoma Tangazo la nafasi za kazi za muda za Makarani wa Sensa ya Watu na makazi 2012 (PDF Format)


2. Bonyeza hapa kupata Fomu ya Maombi ya Kazi za muda za Makarani wa Sensa ya Watu na makazi 2012 ( PDF Format )


3. Bonyeza hapa kupata Fomu ya kukubali kufanya kazi za muda kama karani wa Sensa ya Watu na makazi 2012 ( PDF Format )



Love to hear what you think!