Wednesday, July 25, 2012

SIKU YA MASHUJAA YAADHIMISHWA KWA MBWEMBWE MJINI MOROGORO

 
Mgeni rasmi wa Siku ya Mashujaa, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akielekea kuweka mkuki na ngao kwenye mnara wa mashujaa.
 
Joel Bendera akiweka ngao na mkuki kwenye mnara wa mashujaa.
 
Mabomu yakilipuliwa kama sehemu ya maadhimisho hayo.
Maofisa wa polisi mkoani Morogoro wakifuatilia tukio hilo.
 
Wanajeshi wakimsaidia mwanajeshi mstaafu mzee Edward Hamba (90) aliyepigana vita ya kwanza ya dunia ya mwaka 1945 kuweka upinde na mshale kwenye mnara.
 
Mzee Edward Hamba akiweka zana hizo kwenye mnara.
...Mzee Edward akihojiwa na wanahabari.
----
SIKU  ya Mashujaa leo imeadhimishwa kwa mbwebwe za kila aina  eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa  eneo la Posta katika manispaa ya Morogoro ikijumuisha wanajeshi wastaafu. Katika tukio hilo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.
(PICHA  NA DUNSTAN SHEKIDELE, GPL, MOROGORO)




Love to hear what you think!