Wednesday, July 11, 2012

MAMA WA P-SQUIRE JOSEPHINE OKOYE AMEFARIKI DUNIA!




Huyu ni mmama aliyezaa Paul, Peter,Tony na J ude Okoye inavyosemakana alikuwa anaumwa mara kwa mara kwa taarifa zilizoripotiwa kwenye mitandao kuwa mama huyo amefariki dunia kwa maelezo zaidi BOFYA HAPA KATIKA CHANZO CHA HABARI HII NCHINI NIGERIA
 http://thenetng.com/2012/07/12/psquares-mom-is-dead/



Love to hear what you think!