Wafanyabiashara wa Manzese jijini Dar es Salaam leo wameandamana na
kuweka mgomo wakuzuia kuvunjwa kwa maduka ili kupisha ujenzi wa barabara
kuendelea. Akiongea na waandishi wetu, mmoja wa wafanyabiashara hao
alisema: "hatuwezi kupisha serikali ijenge barabara pembeni ya maduka
yetu na zaidi watu wanakuja kututoa hapa kimabavu, huyo Mwakyembe yuko
wapi tunasema tutapigania hapa mpaka kieleweke."
(Picha:…
Wafanyabiashara wa Manzese jijini Dar es Salaam leo wameandamana na
kuweka mgomo wakuzuia kuvunjwa kwa maduka ili kupisha ujenzi wa barabara
kuendelea. Akiongea na waandishi wetu, mmoja wa wafanyabiashara hao
alisema: "hatuwezi kupisha serikali ijenge barabara pembeni ya maduka
yetu na zaidi watu wanakuja kututoa hapa kimabavu, huyo Mwakyembe yuko
wapi tunasema tutapigania hapa mpaka kieleweke."
(Picha: Irene Profil na Denis Mtima / GPL)