Sunday, May 19, 2013

VUGURU ZATOKEA MJINI IRINGA, POLISI WATUMIA MABOMU KUREJESHA AMANI

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa baada ya Machinga kufunga barabara kuu ya Iringa - Dodoma na ile ya Mashine Tatu mjini Iringa leo.
Hali ikiwa tete eneo hilo.
Polisi wakiwa tayari kukabiliana na Machinga.
 Abiria na wapiga debe wa stendi kuu Iringa wakinawa maji baada ya  kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha na askari.
(PICHA ZOTE NA FRANCIS GODWIN, IRING


Love to hear what you think!