Thursday, May 30, 2013

Hatimae K'Lyne Aweka Wazi Uhusiano Wake na Reginald Mengi Kwenye Twiiter

 Kumekuwepo na Minong'ono mingi lakini hapakuwa na ushahidi wa hili mpaka mwanadada huyo alipoamua kuanika hadharani kuwa mheshimiwa bwana Reginald Mengi ndiye baba halali wa mapacha wake wawili. Happy Birthday Mmili wa makampuni ya IPP bwana REGINALD mengi kwa kumiliki mtoto mkali TOP in town kimwana Jackline Ntuyabaliwe(K'lyne)  mapenzi hayana macho siku zote.

Hii ndio Tweet ya K'lyne kwa mpenzi wake Mh. MENGI




Love to hear what you think!