Friday, August 31, 2012

MWANAFUNZI AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA BODABODA





































mwili wa mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Kashaulili wa kidato cha tatu Zachalia Anton (15) mkazi wa mtaa wa Nsemulwa Mjini Mpanda akiwa amefariki Dunia hapo leo baada ya kugongwa na mwendesha pikipiki (Bodaboda) katika eneo la mtaa wa madukani Mjini Mpanda hapo leo Ambapo mwendesha bodaboda huyo alikimbia na kuitelekeza pikipiki na anatafutwa na jeshi la polisi Picha na Walter Mguluchuma.
KATAVIYETU.BLOG


Love to hear what you think!