Saturday, July 28, 2012

PICHA ZA UFUNGUZI WA OLYMPIC

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Saa chache kabla ya michuano hii kufunguliwa jana shirika la habari la Reuters limeripoti kwamba kuna uwezekano watu elfu 67 ambao ni sehemu ya watakaohudhuria wakaibiwa simu zao za mkononi au kuzipoteza kutokana na ishu mbalimbali zikiwezo za kihalifu.


Love to hear what you think!