Friday, July 13, 2012

ongozi Wa CHADEMA Walipokwenda Polisi Kuhojiwa Leo


 Katibu Mkuu wa Chadema, Wilbrod Salaa akiwasili kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Polisi mjini Dar es Salaam, kutii amri ya polisi iliyomtaka kutoa maelezo kuhusu madai yaliyotolewa na chama hicho  juzi kati kwamba kuna njama zinafanywa na vyombo vya ulizni na usalama vya serikali kuwaua baadhi ya viongozi wa chama hicho. Kulia ni aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini.
 Polisi akiwaonyesha njia Dk. Slaa na mwenzake
  Dk. Slaaa akasalimia baadhi ya watu waliokuwa eneo hilo
 Baadhi ya watu waliokuwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kutaka kujua kilichokuwa kikiendelea
 Kisha akazungumza na waandishi wa habari baada ya kuhojiwa na polisi
wafuasi wakasukuma gari lake wakati akiondoka
Kwa hisani ya Nkoromo blog




Love to hear what you think!