Tuesday, July 10, 2012

Angalia PICHA za HARUSI ya INIESTA ilivyokuwa.



Done deal: Iniesta got married just a week after winning Euro 2012
Mwanasoka bora wa michuano ya Euro 2012 - kiungo wa timu ya taifa ya Spain na Barcelona Andres Iniesta jana alifunga ndoa na mchumba wa siku nyingi kwenye sherehe ya ndoa hiyo iliyofanyika huko Barcelona Spain. Ndoa hiyo ilihudhuriwa na mastaa wengi akiwemo Samuel Eto'o, Gerad Pique, Cares Puyol, Cesc Fabregas, Victor Valdes, na wengine huku - wachezaji wenzake Iniesta wa timu ya taifa wanaotoka klabu ya Real Madrid wakimtosa Iniesta kwa kutohudhuria sherehe hizo.


Done deal: Iniesta got married just a week after winning Euro 2012

Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o (right) were present

Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o (right) were present
                                        Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o




Kipa wa Barcelona akiwa na demu wake kwenye harusi ya Iniesta


Pedro Pedritooooooo na mchuchu wake.


Andres Iniesta akiwa mama yake mzazi


Bwana mkubwa Lionel Messi akiwa mchumba kumpa tafu rafiki yao Iniesta

Safu ya Ulinzi ya Barca ilikuwepo kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa




Love to hear what you think!