Thursday, November 29, 2012

PICHA ZA MASTAA WALIOMZIKA SHARO MILIONEA



Wema Sepetu (kulia) na Jack wa Chuz wakishiriki mazishi ya marehemu Hussein Ramadhan Mkieti 'Sharo Milionea'.
Yusuf Mlela (kulia) na Sajuki nao wakishiriki mazishi ya Sharo Milionea wilayani Muheza mkoani Tanga jana.…
Wema Sepetu (kulia) na Jack wa Chuz wakishiriki mazishi ya marehemu Hussein Ramadhan Mkieti 'Sharo Milionea'.
Yusuf Mlela (kulia) na Sajuki nao wakishiriki mazishi ya Sharo Milionea wilayani Muheza mkoani Tanga jana.
...Ray Kigosi naye alikuwepo.
Swaiba wa marehemu Sharo Milionea, mzee Majuto akiongea machache wakati wa mazishi hayo.
Msanii H- Baba akishiriki kumzika marehemu Sharo Milionea jana.
Steve Nyerere akitoa machache wakati wa mazishi ya Sharo Milionea jana mkoani Tanga.
Mwana FA, Mtitu na Rich wakifuatilia mazishi ya marehemu Sharo Milionea.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando (kulia) akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba ubani wa Airtel kwa ajili ya msiba wa marehemu Sharo Milionea.
(PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA / GPL, TANGA)


1
.
.
.
.
.
Interview na Shetta.
.
Bonge wa mgahawa wa Facebook Kinondoni ambapo Sharo Milionea alikua mara nyingi anakula hapo jioni.
Interview na Dokii.
.
.
.
.
.
Nape Nnauye wa CCM alikuepo pia na mkuu wa Wilaya ya Muheza.
Muhogo Mchungu akipita na kushangiliwa.
.
.
Jackson Mbando kutoka Airtel ambapo aliniambia Sharo Milionea amefariki miezi nane tu baada ya kupata dili la kuwa balozi wa Airtel.
Msanii Tunda Man kutoka Tiptop Connection pembeni yake ni Tembele.
Mwigizaji JB nae alipata tabu baada ya watu kumshangilia na kutaka apige nao picha.
Millard Ayo kwenye interview na JB.
Wasanii wengine niliwahoji wakiwa kwenye magari kama Jackline Wolper manake wakishuka kwenye gari ni vurugu, watu wanang’ang’ania kupiga picha sio kawaida.
.
                               HK ndio alikua meneja wa Sharo Milionea.
.
Gari la huduma ya kwanza lilikuepo ambapo zaidi ya watu 20 walianguka na kuzimia.
Huyu ni mmoja ya waombolezaji ambao walipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuanguka.
.
.
Huyu ni diwani wa nyumbani kwa kina Sharo Milionea, yeye ndio alikua mtu wa kwanza kutoa taarifa za kifo kupitia CLOUDS FM.
Hii ndio nyumba ya kina Sharo Milionea.
Alipozikwa Sharo Milionea.





Love to hear what you think!