Sunday, November 18, 2012

AUNT LULU "NGUO ZA NDANI ZIMEYAHARIBU MAKALIO YANGU NA KUYAFANYA YAWE NA MABAKA"


MSANII asiyeishiwa na matukio, Lulu Mathias ‘Aunt Lulu’ amefunguka kwamba kuharibika kwa mwili wake hasa kwenye makalio kumetokana na kuvaa nguo za ndani aina ya ‘bikini’ ambazo zimechimba mistari.
Akizungumzia tabia ya mastaa wengi kutokuvaa  nguo za ndani wanapokuwa kwenye mitoko, Aunty Lulu alisema kuwa, hiyo inatokana na jinsi zinavyowaathiri sehemu zao ‘muhimu’ na kwamba yeye ni mmoja wa waathirika.

“Kwa kweli hizi nguo za ndani hasa bikini zinatuharibu sana hasa sisi tuliojaaliwa  kuwa na maumbile makubwa, nilikuwa navaa lakini kwa kweli zimenichimba sana kiasi cha kuniharibu na kupoteza mvuto wangu, sivai tena…nitaangalia ustaarabu mwingine,” alisema msanii huyo



Love to hear what you think!