MSANII wa filamu Bongo, Rose Ndauka huenda akawa ana mimba kwani hivi karibuni aliugua ghafla alipokuwa ‘lokesheni’, presha ikampanda pamoja na kichefuchefu.
Tukio hilo lilitokea maeneo ya Tegeta ambapo msanii huyo akiwa katikati ya ‘kushuti’ filamu ya Jawabu, alianza kujisikia vibaya na kuomba apewe msaada.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjN-blpRdPvJzutsjAgrg016XsVSjpKfVqxXm4000xypeE5tKH16DRWdabiDaVRg76kaSuhRCd19eBp-tIR0vymB2WQPc00wcPEYQ0v51Fa_kdRXwBH1z0lh6vUQrmj0aLEfSrwmop4_7M/s400/8.jpg?width=550)
“Hatukujua kilichompata, ghafla alituambia anajisikia vibaya,” alisema mtoa habari.