Saturday, January 5, 2013

Mtoto azaliwa akiwa na miguu sita.Angalia picha hapa


Huyu  ni  binadamu  mwenzetu  aliyezaliwa  akiwa  na  miguu  sita.Anakaaje,  anasimama vipi.....na  anatembeaje.....Yote tumwachie  mungu  aliyeamua  iwe hivyo