Said Bahanuzi akiwa amembeba Hamis Kiiza baada ya kufunga goli pekee la Yanga dhidi ya APR ya Rwanda.
.Wakati-wa-mapumziko-mechi-ya-Yanga-na-Vita-Kocha-wa-Yanga-Tom-Saintfiet-alimuita-kocha-wa-Azam-Stewart-Hall-kumuelekeza-mambo-na-kipindi-cha-pili-Azam-ikatoka-nyuma-kwa-1-0-na-kushinda-2-1
John Boko na wenzake wakishangilia goli. (Picha zote zimepigwa na bongostaz.blogspot.com