Hiyo ndio ofisi ya Marehemu Steven Kanumba ambayo bado inaendelea na kazi kama kawaida Sinza Dar es salaam.
Mwingine alieteuliwa kuisimamia hiyo kampuni sasa hivi ni Seth Bosco ambae ndio anamfata Kanumba kwa kuzaliwa, ambapo sasa hivi kampuni itakua inarekodi movie na waigizaji mbalimbali chini ya uongozi wa Seth, haina mwigizaji pekee kama ilivyokua mwanzo, sasa hivi watatumika wasanii wote ambao itaonekana uwezo wao unaruhusu kucheza kwenye movie ambazo zinaandaliwa na kampuni hiyo.
Unaweza kulike au kutweet hii story ili na wenzako wa facebook na twitter waione, shukrani!